Saturday, July 28, 2007

WASIFU WA ALI MWINYI MSUKO

CURICULUM VITAE

JINA KAMILI: Ali Mwinyi Msuko
TAREHE YA KUZALIWA: 01.01.1960
MAHALI PAKUZALIWA:
KIJIJI: Mitakawani
WILAYA: Kati
MKOA: Kusini Unguja

ELIMU
· MSINGI: 1966 – 1973 Skuli ya Uzini
· SEKONDARI YA AWALI: 1974 – 1976 Skuli ya Uzini
· CHETI CHA KIDATU CHA IV 1979 Privet
· CHETI CHA UALIMU DARJA III A: 1980 – 1982 Nkurumah
· STASHAHADA YA SAYANSI YA JAMII: 1985 – 1986 Higher Komsomol School Moscow USSR
· MAFUNZO YA SIASA NA ULINZI: 1976 Kambi ya Viana U/Ukuu
· MAFUNZO YA MAKADA WA KUSUKUMA MBELE MAPINDUZI YA KILIMO: 1988 Chuo cha CC M Zanzibar
· MFUNZO YA UALIMU WA VIJANA NA CIPUKIZI:
1979 Chuo cha Elimu ya Taifa Kleruu Iringa
· MAFUNZO YA MAKADA WA CCM CHO CHA CCM HURIA: 2004 – 2005
· MAFUNZO YA KAMATI ZA UTENDAJI ZA CCM WILAYA: 1998 Wete Pemba



KAZI NILIZOWAHI KUZIFANYA.
§ Mwalimu wa Shule za Msingi na Sekondari
§ Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya Itikadi na Uenezi
§ Katibu wa UVCCM Wilaya
§ Katibu Msaidizi Mkuu Afisi Kuu ya UVCCM Zanzibar
§ Katibu wa UVCCM Mkoa
§ Katibu wa CCM wilaya

KAZI YA SASA
Katibu Msaidizi Idara ya Itikadi na Uenezi Afisi Kuu ya CCM Zanzibar

UZOEFU WA UONGOZI KATIKA CHAMA NA JUMUIYA
§ Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa ASP Tawi la Shule 1976
§ Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM WA Tawi 1978 – 1983
§ Katibu wa Chipukizi wa Wilaya 1979 – 1983
§ Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya I/Uenezi 1987 – 1992
§ Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM Wilaya 1992 – 1996
§ Katibu Msaidizi Mkuu Umoja wa Vijana wa CCM
Afisi Kuu Zanzibar 1996 – 1997
§ Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa 1997 – 1998
§ Katibu wa CCM Wilaya 1998 – 2001
§ Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji WAZAZI Wilaya 1984 – 1989
§ Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Vijana
CCM Mkoa 1988 – 1993
§ Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Vijana
wa CCM Taifa 1988 - 1993
§ Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa 1987 – 1992
§ Katibu wa CCM Tawi la Afisi Kuu Zanzibar 2002 – 2007
§ Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 1990
§ Mjumbe wa Kamati ya Usafiri Mapokezi na Malazi
§ ya Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa CCM Taifa 2002, 2005na 2006
§ Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya H/Kuu ya Tawi la
§ Kijijini (Umbuji) 2007 – 2012
§ Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi la CCM Afisi Kuu
Zanzibar 2007 - 2012

No comments: